Sunday, October 11, 2009

UVIMBE WA TUMBONI

Uvimbe ni kitu kidogo sana katika tumbo tunaweza kuusawanisha na mchanga lakini huu uvimbe ni mkubwa sana ungiapo kwa motto wa kike na unaweza hata kumuuwa asipokuwa makinini sawa uonavyo na mchanga ukuingipo katika jicho ni kiasi gain unavyowasha tena waweza kufikili umewekewa tofali ndani ya jicho lakini kakitolewa ni kamchanga kadogo sana,sasa hiyo hali ndio imtokeavyo motto wa kike nah ii hali ni mbaya sana kwani huu uvimbe waweza kumsababishia hata kutopata motto kwa sababu huu uvimbe hukaa sana chini ya kizazi mara nyingi sana hupendelea kukaa sehemu kama hizo ukiukosa sehemu ya uzazi hukaa katka mirija ya uzazi sehemu hizi mara nyingi sana hupendelea kwa hivyo sehemu kama hizo kati hizo uvimbe ukaa mara nyingi sana husumbuka sana motto wa kike bora uvimbe huo ukae tofati na hapo lakini iwapo ukakaa eneo zingine maumivu yake huwa ni madogo sana na unaweza usigigungue kama unauvumbe .

DALILI ZAKE ZA UVIMBE WA UZAZI KWA MWANAMKE

Mara nyingi sana motto wa kike anapokuwa na uvimbe huwa sistimu nzima ya siku za henzi hubadilika gafla pasipo kusikia maumivu ya aina yoyote baada ya siku kazaa huanza kusikia maumivu furani furani furani ambayo hupelekea katika mguu wa kushoto au wa kulia gafla uvuta kwa muda robo saa au dakika tano na vile vile kusikia hata kichefu chefu kama mtu mjamzito na mara pengine hata kuna siku unaweza kupoteza hata hamu ya chakula na kutokwa na chunusi pasipo hata sababu ya msingi na hata kutokewa na kajipu sehemu yoyote ila mara nyingi sana huwa chini ya tako au chini ya kwapa la mkono.

Pindi huonapo dalili kama hizo tafadhali wahi katika uchunguzi kwa maana dalili kama hizo hubadilisha hata homon na uvimbe huu jinsi uendeleavyo kwa baadae hata ukiubonyeza waweza kuugusa gusa hapo ndipo mahali pabaya kwa asilimia kubwa kwa maana tiba hizi mara nyingi sana huwa ndani ya mitishamba ambayo imechanganywa katika vichanganyio vya aina mbali mbali hili kuepusha operation kutona na tiba zetu tinauwezekano wa kupona kabisa na tatizo kama hili kutomtokea tena na kumpagia siku zake za hezi awe anaigia kila mwezi paspo kupitiliza hata kidogo .

Mara nyingi sana matatizo kama haya huwa ni yakutupiwa na wachawi ambao nia yao huwa sio nzuri ili kukufarakanisha na mmeo na kwa sababu hiyo unakuta awali ilipo kuwa binti ulishashika mimba na ukazaa motto na mpaka hivi lee ni mkubwa tu wa miaka 20 na ulizaa na huyo uumpendae katika hali ya ujana lakini hakuwa chaguo lako hapo baadae katika kujiendeleza kimasomo ,ukasomo mpaka ukamaliza sasa umepata uumpendae na unatarajia kufunga naye ndoa ,na Mungu akawajalia mkafunga naye ndoa na hiyo ndoa yenu imedumu katika kipindi cha miaka 7 lakini ujawahi kushika mimba wala kutumia uzazi wa mpango yani vidonge vya majira lakini swala la mimba halipo kabisa na bwana mzee anahitaji mototo na umefikia atua mpaka ndungu wa mme wewe motto wa kike wanakusema vibaya na ndoa inakosa amani kutana na wewe kutoshika ujauzito na Mungu amekujalia kisomo na kazi nzuri unayo na magari ya kutembelea mnayo na nyumba nzuri mnayo lakini ndoa haina amani ,lakini ukikaa na kufikilia wakati wa usichana wako mbona ulishika ujauzito na ukajifungua na motto yupo mpaka lee hii na afya njema kabisa sasa hapo moja kwa moja kuna nguvu za giza ambazo tunaziita za kishilikina ambapo pasipo kuwa makini unaweza kufika hatua mbaya sana .

Katika hili moja kwa moja kinachotakiwa ni kutumia dawa na kulifutilia mbali suala hili ambalo ni lakimiujiza ambolo moja kwa moja unapaswa kiliamini ingawo watu wengi sana huwa hawatilii manani mambo kama haya amini hilo mambo haya ndio mengi sana waweza kumpeleka hospitali na akafanyiwa operationi na akauguza mshono na akapumzika kwa muda mrefu kama yalivyo maadali ya hospitali na baada ya mapumziko mkaaza kukutana kimwili kama jinsi dakitali alivyo toa maelekezo na mkafanya hivyo yapata miaka 7 lakini hamna mafanikio iwapo wenye tatizo kama lako mlifanyiwa nao operation lakini wao wamefanikiwa na wanamtoto anaita SHUJAA l,mlivyo kutana mliweza kuongea mengi sana na kuweza kuelezeana jinsi mwenzio alivyokuwa anajisikia katika tatizo lake lakini katika maelezo yake kunautofauti mkubwa katika maelezo ya Mama Shujaa.

DAWA ZAKE ZA KUMALIZA TATIZO LA KIMUUJIZA
SHS 40,000 Na dawa hii unataitumia kwa muda wa siku 40 ni maji ambayo haina madhara kwa mtumiaji wa dawa kwa hivyo unatumia abuhi na jioni na haina mashariti na ndani ya siku hizo utaona mabadiliko makubwa mno katika kipindi cha siku 18..Ujauzito utaupata baada ya siku 60 baada ya kumaliza dose.

No comments:

Post a Comment